Joseph Panga Apokelewa na Viongozi wa Mkoa wa Arusha

 

Mwanariadha Joseph T. Panga apokelewa na Viongozi waandamizi wa Jeshi la Ulinzi la Wananchi Tanzania (JWTZ) pamoja na Mwenyekiti wa Chama cha Mkoa wa Arusha Babu Gerald (Mwenye Koti la Suti) katika uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro baada ya kushika nafasi ya tisa kwa muda wa saa mbili , dakika tisa na sekunde thelathini na tano (2:09:35) katika mashindano ya Berlin Marathon 2025




Share this:

Post a Comment

 

Copyright © 2015 - 2025 Athletics Tanzania All Right Reserved

Developed by Gadiola Emanuel
Theme By AP | Developed By Gadiola Emanuel