GSM FOUNDATION YAIPIGA JEKI TIMU YA TAIFA YA RIADHA ILIYOKO KAMBINI WEST KILIMANJARO

March 14, 2016

Kocha wa timu ya taifa ya riadha Fracis John (kulia) akiwa na wanariadha wanaounda timu ya taifa ya riadha wakitizama msaada wa Track Suit ulitolewa na GSM Foundation kwa ajili ya wanariadha hao. 
Rais wa Shirikisho la riadha Tanzania (RT) Anthony Mtaka akitizama msaada wa track suit zilizotolewa na kampuni ya GSM Foundation. 
Rais wa Shirikisho la riadha Tanzania ,Anthony Mtaka akikabidhi msaada wa track Suit zilizotolewa na GSM Foundation . 
Wanariadha wanaounda timu ya taifa wakichagua Track suit zilizotolewa na kampuni ya GSM Foundation . 
Kila mmoja akichagua rangi anayopendelea. 
Wanariadha wanaounda timu ya taifa ,wakiwa katika picha ya pamoja na rais wa Shirikisho la riadha Tanzania (RT) Anthony Mtaka pamoja na kocha wao Francis John .
Na Dixon Busagaga wa Kanda ya Kaskazini.

T&F | Gidabuday Takes Home 5000 Meter Title At Championships

March 13, 2016

PITTSBURG, Kan. (March 11, 2016) – Freshman Sydney Gidabuday ran to a 5000 meter crown at the NCAA Division II Championships on Friday to highlight Adams State University on day one of competition from the Robert W. Plaster Center.

Gidabuday's first place mark along with a fifth place finish from the Distance Medley Relay (DMR) team currently position the Adams State University men in second place with 15 team points.

Gidabuday's 5000 meter time of 14:06.09 was enough to fend off Bryce Bradley of Grand Valley State University by 1.84 seconds. The title gives the freshman his sixth overall first place finish during the indoor season. Furthermore, he's now won the last four events he's raced dating back to his mile win at the UW Open on February 14th.

After 10 points from Gidabuday, the DMR team of Brian Baum, Robert Guinn, Kale Adams, and Oliver Aitchison supplied five team points by virtue of placing fourth in a field of 12. The Grizzlies finished in 9:49.90 in a highly contested race. Of the top eight teams, less than five-seconds separated the first through eighth place finishes.

Saturday's final in the mile will see a contingent of four Grizzlies after a superb showing in Friday's preliminary. Holding true to his national top time, Aitchison finished first in the mile prelim with a mark of 4:04.91. Also advancing were Baum in fifth (4:06.27), Chandler Reid in sixth (4:06.30), and Jackson Sayler in ninth (4:06.90).

Also advancing into a Saturday final was Jurgen Themen in the 60 meter dash. The school record-holder in the event managed a time of 6.755 to keep his indoor season alive for another day. Themen placed fifth overall but was third in his heat.

Rounding out the ASU men competitors on Friday were Chaz Butler and Dominic Cabada. Butler tabbed a time of 22.10 for 17th overall in the 200 meter dash as Cabada placed 16th in the 5000 meter run at 15:12.10.

With a third place finish in the DMR, the ASU women stand in a three-way tie for 16th in the team standings. The group of Roisin Flanagan, Jessica Scherrer, Leanne Allen, Noel Prandoni collected six team points in the event with a time of 11:28.53.

Individually, Chante Roberts placed second overall in the 800 meter prelim at 2:09.43. Roberts was ultimately the top finisher in her heat and is poised to finish strong in tomorrow's final.

Meanwhile, Kelsey Corbin was unable to advance in the mile final with a time of 5:03.55 to position her in 16th place.

Action resumes tomorrow at approximately 12:55 pm MT with the men's shot put. Adams State will be represented in the event with Zach Baxter and Sam Reid. The final event of the day is scheduled to begin at 6:15 pm MT in the form of the women's 1600 meter relay.

SOURCE: Adam State University

MWANARIADHA WA TANZANIA ALPHONCE FELIX AREJEA NCHINI BAADA YA KUSHIKA NAFASI YA TATU KATIKA MASHINDANO YA LAKE BIWA MARATHONI YA NCHINI JAPAN.

March 13, 2016

Mwanariadha wa Tanzania ,Alphonce Felix akirejea nchini akitokea nchini Japan kushiriki mashindano ya marathoni yajulikanayo kama Lake Biwa ambapo alifanikiwa kushika nafasi ya tatu akitumia muda wa saa 2:09:19.
Mwanariadha wa Tanzania ,Alphonce Felix akisalimiana na mdau wa riadha ,Wilhelm Gidabuday aliporejea nchini akitokea nchini Japan kushiriki mashindano ya marathoni yajulikanayo kama Lake Biwa ambapo alifanikiwa kushika nafasi ya tatu akitumia muda wa saa 2:O9:19.
Mwanariadha wa Tanzania ,Alphonce Felix (katikati)  akiwa na kocha wa timu ya taifa ya riadha Francis John waliporejea nchini wakitokea nchini Japan kushiriki mashindano ya marathoni yajulikanayo kama Lake Biwa ambapo alifanikiwa kushika nafasi ya tatu.
Mwanariadha wa Tanzania ,Alphonce Felix akimkabidhi rais wa shirikisho la riadha Tanzania (RT) Anthony Mtaka ngao ya ushindi wa nafasi ya tatu aliyopata katika mashindano ya Lake Biwa Marathon yaliyofanyika nchini Japan.
Wanariadha wa timu ya taifa ya riadha wakiwa katika picha ya pamoja na mshindi wa tatu wa mbio za marathoni za Lake Biwa .Alphonce Felix.
Wanariadha wa timu ya taifa ya riadha wakiwa katika picha ya pamoja na Rais wa shirikisho la Riadha Tanzania ,Anthony Mtaka pamoja na mshindi wa tatu wa mbio za marathoni za Lake Biwa .Alphonce Felix.
Mwanariadha wa Tanzania ,Alphonce Felix akionesha zawadi aliyopewa baada ya kushika nafasi ya tatu katika mashindano ya Lake Biwa Marathon ambapo alifanikiwa kushika nafasi ya tatu akitumia muda wa saa 2:09:19.

Na Dixon Busagaga wa kanda ya Kaskazini.

GAPCO YAWAPA NEEMA WALEMAVU KATIKA MBIO ZA KILIMANJARO MARATHON 2016.

March 01, 2016


Walemavu wakishangilia kwa pamoja na viongozi wa kampuni ya GAPCO ambao walikuwa ndiyo wadhamini mbio za kilomita 10, za Kilimanjaro Marathon 2016 zilizofanyika mjini Kilimanjaro mwishoni mwa wiki iliyopita. 
 Walemavu wakianza kutimua mbio za kilomita 10, za Kilimanjaro Marathon 2016 zilizokuwa zimedhaminiwa na kampuni ya GAPCO na kufanyika mjini Kilimanjaro mwishoni mwa wiki iliyopita.
Viongozi wa kampuni ya GAPCO wakiwa na Mgeni Rasmi Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Nape Nnauye (wa pili toka kushoto) akiwaangalia walemavu wakitimua mbio za Kilometa 10 za Kilimanjaro Marathon 2016 zilizokuwa zimedhaminiwa na kampuni ya GAPCO na kufanyika mjini Kilimanjaro mwishoni mwa wiki iliyopita.
Mmoja ya walemavu Vosta Peter (30) kutokea Dar es Salam akiongoza katika mbio za Kilometa 10 za Kilimanjaro Marathoni 2016 zilizokuwa zimedhaminiwa na kampuni ya GAPCO na kufanyika mjini Kilimanjaro mwishoni mwa wiki iliyopita.
Kila mmoja akionyesha ustadi wa kuendesha baskeli.
Mwanadada Linda Macha (32) ambaye aliweza kuwashinda wenzake katika mbio za Kilometa 10 za Kilimanjaro Marathoni 2016 zilizokuwa zimedhaminiwa na kampuni ya GAPCO na kufanyika mjini Kilimanjaro mwishoni mwa wiki iliyopita. 
Mshindi wa mbio za Kilometa 10 za Kilimanjaro Marathon 2016, Vosta Peter (30) akishangilia mara baada ya kumaliza. Mbio hizo za Kilometa 10 zilidhaminiwa na kampuni ya GAPCO na kufanyika mjini Kilimanjaro mwishoni mwa wiki iliyopita.
Mshindi wa kwanza kwa mbio za walemavu kilomita 10, Vosta Peter (30) akipokea cheki ya Shilingi Milioni Moja kutoka kwa kampuni ya GAPCO, wanaomkabidhi ni Meya wa Manispaa ya Moshi Raymond Mboya (kushoto), Mkurugenzi Mkuu wa Kampuni ya Gapco Afrika Mashariki, Macharia Irungu (anayepiga makofi toka kushoto) na Mkurugenzi Mtendaji wa GAPCO Tanzania, Vijay Nair. 
Picha zote na Cathbert wa Kajunason Blog.
Na Cathbert Kajuna - Kilimanjaro. 
Mkurugenzi Mkuu wa Kampuni ya GAPCO Afrika Mashariki, Macharia Irungu amewataka wanamichezo kujibidishe kwa kufanya mazoezi mara kwa mara ili waweze kufanya vizuri katika mashindano wanayoshiriki. 
Akizungumza mwishoni mwa wiki mjini Kilimanjaro wakati wa Mashindano ya Kilimanjaro Marathoni 2016, ambapo GAPCO ndiyo waliodhamini upande wa Walemavu, alisema kuwa wanamichezo wengi walemavu na hata wasiowalemavu hujisahau sana kufanya mazoezi ya kutosha jambo linalowafanya wengi wao kutoweza kufanikiwa kushinda kwenye mashindano. 
Aliongeza kuwa wao kampuni ya GAPCO waliweza kujitolea kuwasaidia walemavu ili waweze kuonyesha vipaji vyao japo mwanzo waliweza kuwasisitiza wafanye mazoezi na ndiyo maana wameweza kufanya vyema. "Napenda kuwaasa wanamichezo wale walemavu na wasio walemavu, wapende kujitoa kufanya mazoezi ya kutosha maana siri ya ushindi ni mazoezi wala hakuna muujiza unaoweza kukupa ushindi kama haujajitoa kufanya mazoezi ya kutosha," alisema Irungu. 
Kwa upande wake Mkurugenzi Mtendaji wa kampuni ya GAPCO Tanzania, Vijay Nair alisema wamefurahishwa na mahudhurio ya watu wenye ulemavu waliojitoa kushiriki mashindano hayo, na wao hawatawatupa wataendelea kuwa nao bega kwa bega. Bw. Nair aliwaasa walemavu wawe na moyo wa upendo na mshikamano ili waonyeshe mfano bora hata wanapojitokeza kusaidiwa wafaidike kwa pamoja. 
Mashindano ya mbio za Kilimanjaro marathon za 10KM kwa walemavu zilidhaminiwa na GAPCO ambapo shindano lilijumuisha baiskeli za walemavu zenye matairi matatu zenye viwango vya kimataifa wapatao 60 kutoka Dar es Salaam, Arusha, Moshi na Zanzibar.

The Creation of the 2016 Rio Olympic Games

March 01, 2016
Credit: Creative Commons/JorgeBRAZIL
Ever since the Olympic Games of 2016 were declared, the city of Rio de Janeiro is teeming up with many activities. The Olympics in Rio are unique in its own way as they are the first of its kind to be held in a South American country. The opening ceremony will be held on August 5, 2016, and the excitement will last through to the concluding ceremony which will be held on August 21, 2016.
The Brazilian government is investing millions in preparation of the venue, and are ensuring that no stone is left unturned in its final lap. Several new structures are being constructed as well as the existing ones are getting renovated. Barra da Tijuca will be the place where the Olympic village is situated, and the players are supposed to stay there itself.
The venues for the major games will be as follows:
Maracana Stadium – opening and the closing ceremonies.
Joao Haelange Stadium –athletic events
Maria Lenk Aquatic Center –water polo, diving and swimming
Copacabana Beach – marathon swimming, beach volleyball, and triathlon
HSBC Arena –basketball, gymnastics, and trampoline
Sambadrome –archery and marathon
Maracanazinho Gymnasium –volleyball
Lagoa Rodrigo de Freitas –canoeing and rowing competitions
In spite of all the negative things that are being said about the event, we cannot ignore the fact that this is going to be the most exhilarating event in the history of Rio de Janeiro.
Check out Rio Olympics 2016 page for more updates on the 2016 Olympic Games.

Giniki Secures First Place in Kunming Plateau Half Marathon (1:04:02)

March 01, 2016

Kunming Plateau Half Marathon is increasingly becoming popular across China with tens of thousands of people practicing and joining the event every year.

Emanuel Gisamoda Giniki from Tanzania won the men's title at Kunming Plateau Half Marathon with a time of 1 hour 4 minutes and 2 seconds while Rebecca Chesir from Kenya won the women's championship.
 
China is also home to dozens of other International Marathons including the ones in Beijing, Xiamen and Shanghai.

2016 Rio Olympics participation standards for Tanzania

March 01, 2016

Kwa yeyote atakayefikia viwango hivyo katika kila distance husika na katika viwanja vinavyotambulika (Certified). Atakuwa na nafasi ya kuiwakilisha Tanzania katika 2016 Rio De Janeiro Olympic Games.
 

Copyright © 2015 - 2025 Athletics Tanzania All Right Reserved

Developed by Gadiola Emanuel
Theme By AP | Developed By Gadiola Emanuel