Kocha wa timu ya taifa ya riadha Fracis John (kulia) akiwa na
wanariadha wanaounda timu ya taifa ya riadha wakitizama msaada wa Track
Suit ulitolewa na GSM Foundation kwa ajili ya wanariadha hao.
Rais wa Shirikisho la riadha Tanzania (RT) Anthony Mtaka akitizama
msaada wa track suit zilizotolewa na kampuni ya GSM Foundation.
Rais wa Shirikisho la riadha Tanzania ,Anthony Mtaka akikabidhi msaada wa track Suit zilizotolewa na GSM Foundation .

Wanariadha wanaounda timu ya taifa wakichagua Track suit zilizotolewa na kampuni ya GSM Foundation .

Kila mmoja akichagua rangi anayopendelea.

Wanariadha wanaounda timu ya taifa ,wakiwa katika picha ya pamoja na
rais wa Shirikisho la riadha Tanzania (RT) Anthony Mtaka pamoja na kocha
wao Francis John .
Na Dixon Busagaga wa Kanda ya Kaskazini.
0 Comments