NA TULLO CHAMBO - AT
NA TULLO CHAMBO - AT
NA TULLO CHAMBO
WAZIRI wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Dr. Dorothy Gwajima, anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika uzinduzi wa Mashindano Maalum ya Riadha ya Wanawake maarufu kama 'Ladies First' yanayotarajiwa kurindima kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa January 21 na 22 jijini Dar es Salaam.
Akizungumza na Waandishi wa Habari jijini Dar es Salaam, Katibu Mtendaji wa Baraza la Michezo la Taifa (BMT), Neema Msitha, alisema mashindano hayo yamendaliwa na BMT, Shirikisho la Riadha Tanzania (RT), na kuwezeshwa na Shirika la Maendeleo la Japan ( JICA), na huu ni msimu wake wa nne, yakiwa na lengo la kuwahamasisha wanawake kushiriki katika mchezo wa Riadha.
"Lengo la mashindano haya ni kuwahasisha watoto wa kike kushiriki katika michezo hususan Riadha, kutoa fursa ya wanariadha wa like kuonyesha vipaji vyao na kuendeleza vipaji vya wanariadha ambao watawakilisha nchi katika mashindano ya kitaifa na kimataifa siku zijazo," alisema Msitha.
Alisema mashindano ya mwaka huu, yatashirikisha wanariadha 186 kutoka mikoa yote ya Tanzania Bara na Visiwani yakishirikisha mbio za Mira 100, 200, 400, 800, 1500, 5000, 10000, Kupokezana Vijiti 4x400 na Kurusha Mkuki na kushuhudiwa na watazamaji mbalimbali wakiwemo wanafunzi 1000 kutoka shule za Msingi na Sekondari za Manispaa ya Temeke.
"BMT inaishukuru Sana JICA na kampuni za Kijapan zinazofanya shughuli zake hapa nchini kwa kufadhili mashindano haya kwa mara ya nne, pia Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo kwa kutoa uwanja ambao utatumika kwa mshindano na ofisi ya Mkurugenzi wa Manispaa ya Temeke ambayo imetoa ruhusa kwa wanafunzi kushiriki na kujifunza katika mashindano haya," alisema Msitha na kuongeza.
Baraza linaendelea kusisitiza Kamati za Michezo za Mikoa, kuhakikisha zunawezesha ushiriki wa wanaridha wa mikoa yao katika mashindano haya na kuwaomba wananchi wote wa Jiji la Dar es Salaam kujitokeza kwa wingi siku ya Jumamosi na Jumapili kushuhudia mashindano hayo ambapo hakuna kiingilio.
Kwa upande wake, Mwakilishi Mkuu wa JICA Tanzania, Naofumi Yamura, alisema wanajivunia kuanza kutoa ushirikiano kwa Tanzania toka mwaka 1962 na mashindano ya mwaka huu watayatumia kama maadhimisho ya miaka 60 ya ushirikiano wao na Tanzania.
Yamura, alisema mashindano ya mwaka huu yatahudhuriwa na watu mbalimbali maarufu akiwemo Balozi wa Japan Tanzania, viongozi kutoka Sudan ya Kusini, Mwanariadha nguli Kanali mstaafu Juma Ikangaa na mwanariadha anayewika hivi sasa Alphonce Simbu.
Naye Katibu wa Chama cha Riadha Zanzibar (ZAAA), Muhidin Masunzu akimwakilisha Kaimu Katibu Mkuu wa RT, Wakili Jackson Ndaweka, alisema wamejiandaa vema kuhakikisha mashindano hayo yanafanyika kwa ufanisi.
Wazo la kuanzishwa mashindano hayo liliasisiwa na Kanali Ikangaa, ambaye pia no Balozi wa Hiari wa JICA, likitokana na kuenzi historia ambapo medali ya kwanza Tanzania kimataifa ililetwa na Mwanamama Thereza Dismas, aliyekuwa akirusha Mkuki.
Hurdling, sport in athletics (track and field) in which a runner races over a series of obstacles called hurdles, which are set a fixed distance apart.
Traditionally, there are two types of hurdle races—the 120-yard (110 meter) high hurdle and the 440-yard (403 meter) intermediate hurdle. The hurdles are 42 inches (1.06 meters) high in the 120-yard event and 36 inches (. 91 meters) high in the 440-yard event.
Athletics 400 metres | |
---|---|
The closing stages of a men's 400 m race | |
World records | |
Men | Wayde van Niekerk 43.03 (2016) |
Women | Marita Koch 47.60 (1985) |
The Local Organizing Committee (LOC) for the World Athletics Championships (WCH) Oregon22 has announced the global event’s marathons and race walks will be held in Eugene and Springfield, Oregon. These locations are within miles of the event’s main venue, Hayward Field at the University of Oregon.
The perimeter of Autzen Stadium, also located on the University of Oregon campus, will serve as a hub for the start and finish of all WCH Oregon22 Road Events, including the men’s and women’s marathon and men’s and women’s race walk events.
The LOC has been working with the Eugene Marathon team to develop courses for the road events that allow athletes, spectators, and digital fans to share in the glory of Oregon and the history of track & field in this community.
“We’re thrilled to have the chance to manage the WCH Oregon22 road events next summer,” Eugene Marathon Race Director and Oregon22 Road Events Course Manager Ian Dobson said. "We run on these roads every day and the thought of showing off our extraordinary community to the world, while also inspiring our own running community by bringing the world’s best athletes to them, is an opportunity unlike any other."
On the first day of competition, July 15, 2022, the women’s and men’s 20-kilometers race walk will take place. The only morning session of Day 8 is the women’s 35-kilometers race walk, the first of its kind in the World Championship series. Day 10, the final day of WCH Oregon22 is opened with the men’s 35-kilometers race walk. All race walk events will be conducted on a 1-kilometer looped course near Autzen Stadium.
The men’s marathon is set to open Day 3 of competition. The women’s marathon will be held the following morning on Day 4 of competition. Both the men’s and women’s marathon course will be a 14-kilometer looped course circling through Eugene and Springfield, Oregon. It will highlight the natural beauty and history of the heart and home of track and field in the U.S.
Copyright © 2015 - 2025 Athletics Tanzania All Right Reserved
Developed by Gadiola Emanuel