Home
Riadha
Rais wa RT Awaasa Wanariadha nchini kufanya Mazoezi kwa Bidii
Rais wa RT Awaasa Wanariadha nchini kufanya Mazoezi kwa Bidii
By
Athletics Tanzania
August 21, 2015
 |
Rais wa shirikisho la riadha Tanzania (RT) Anthony Mtaka akizungumza katika tamasha hilo. |
 |
Waziri
mkuu Mstaafu ,Frerick Sumaye akitoa hotuba yake wakati wa tamasha la
nane la mbio za kimataifa za Ngorongoro Marathoni zilizofanyika mwishoni
mwa wiki Karatu mkoani Arusha. |
 |
Mkurugenzi wa Zara Tanzania and Adventures,Zainab Ansel akitoa zawadi kwa washindi wa mbio za Km 5 upande wa wasichana. |
 |
Waziri
mkuu mstaafu ,Fredrick Sumaye akizungumza na mshindi wa kwanza mbio za
Km 5 kwa upande wa wasichana aliyemaliza mbio bila ya kuwa na
kiatu,Sumaye alimpatia zawadi ya fedha kwa ajili ya kununua kiatu. |
 |
Umati wa wananchi ukifuatilia matukio mbalimbali katika mbio hizo. |
 |
Mkurugenzi
wa Zara Tanzania and Adventures ambao ndio waandaaji wakuu wa mbio
hizo,Zainab Ansel akikabidhi zawadi kwa mwakilishi wa Bonite Bottlers
ambao pia walikuwa wadhamini wa mbio hizo. |
 |
Mkurugenzi
wa Zara Tanzania and Adventures ambao ndio waandaaji wakuu wa mbio
hizo,Zainab Ansel akikabidhi zawadi kwa mwakilishi wa Exim Bank ambao
pia walikuwa wadhamini wa mbio hizo. |
 |
Mkurugenzi
wa Zara Tanzania and Adventures ambao ndio waandaaji wakuu wa mbio
hizo,Zainab Ansel akikabidhi zawadi kwa mwakilishi wa Marenga Investment
ambao pia walikuwa wadhamini wa mbio hizo. |
 |
Waziri
mkuu mstaafu ,Fredrick Sumaye akikabidhi zawadi kwa mkurugenzi wa Zara
Tanzania and Adventures kama mwandaji mkuu wa mbio hizo. |
 |
Washindi wa mbio hizo kwa upande wa wanawake, |
 |
Waziri mkuu mstaafu ,Fredrick Sumaye akimvisha medali mshindi wa kwanza katika mbio hizo,Failuna Abdi. |
 |
Waziri mkuu Mstaafu akiwa katika picha ya pamoja na washindi. |
 |
Waziri mkuu mstaafu akimvisha medali ,mshindi wa kwanza katika mbio za km 21 kwa upande wa wanaume ,Joseph Theofily, |
 |
Waziri mkuu mstaafu akiwa katika picha ya pamoja na washindi kwa upande wa kiume. |
SIMILAR ARTICLES
Post a Comment