Matukio

< span data-type="recent" data-yes="5">

Matukio Mbalimbali katika mbio za DODOMA HAPA KAZI TU HALF MARATHON


 Picha Zote na Gadiola Emanuel, Dodoma. 0755 643 633
Waziri Mkuu, Mhe. Majaliwa akifika kwenye banda la kuandikishwa washindi wa mbio hizo za HAPA KAZI TU Dodoma Half Marathon iliyofanyika tarehe 30 Jan, 2016 Mjini Dodoma.
Waziri Mkuu, Mhe. Majaliwa akielekea jukwaa kuu baada ya kukimbia km 2 katika mbio za HAPA KAZI TU Dodoma Half Marathon iliyofanyika tarehe 30 Jan, 2016 Mjini Dodoma.

Mhe. Waziri mhe. Majaliwa (katikati), Naibu Spika (kushoto) na Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mhe. Chiku Galawa (kulia)

Waziri Mavunde baada ya kushiriki mbio hizo
Mwanamuziki Stara Thomas nae alishiriki

Waziri Angellah Kairuki, Mama Samwel Sitta na Waheshimiwa wengine walishiriki
watoto hawa nao walishiriki mbo hizo
Officials wa chama cha riadha nchini, wakiongozwa na Filbert Bayi wakipanga mipango mbali mbali
washiriki wa mbio za km 21.1 wakijiandaa


Waziri Nape Nnauye




Waziri Mkuu akijiandaa kupuliza filimbi ya kuashiria kuanza kwa mashindano ya km 21.1 ya wanariadha wazoefu.

Post a Comment

0 Comments