Matukio

< span data-type="recent" data-yes="5">

JACKLINE SAKILU ASHINDA MBIO ZA CHONGQING INTERNATIONAL MARATHON, CHINA

 

Jackline Sakilu (TAN) competing in the women's marathon on day two of the Commonwealth Games at Cannon Hill Park, Edgbaston in Birmingham, England, on July 30, 2022. Credit : Gary Mitchell-GMP Media


Mwanariadha wa Kimataifa wa Mbio ndefu (Marathon) Jackline Juma Sakilu ashinda mbio za Chongqing International Marathon, China kwa kuwa wa kwanza kwa muda wa saa mbili na dakika ishirini na moja na sekunde ishirini na sita (02:21:26) leo tarehe 24/03/2024 na kuchukua medali ya Dahahabu.

Jackline Sakilu, amefuzu na wenzake 3 kushiriki mashindano makubwa ya olimpiki Jijini Paris, Ufaransa, wenzake waliofuzu kwa mashindano hayo ni Alphonce Felix Simbu, Gabriel Gerald Geay na Magdalena Crispine Shauri.

Tunampongeza Jackline Sakilu kwa Ushindi huo.

Post a Comment

0 Comments