GAPCO YAWAPA NEEMA WALEMAVU KATIKA MBIO ZA KILIMANJARO MARATHON 2016.

March 01, 2016


Walemavu wakishangilia kwa pamoja na viongozi wa kampuni ya GAPCO ambao walikuwa ndiyo wadhamini mbio za kilomita 10, za Kilimanjaro Marathon 2016 zilizofanyika mjini Kilimanjaro mwishoni mwa wiki iliyopita. 
 Walemavu wakianza kutimua mbio za kilomita 10, za Kilimanjaro Marathon 2016 zilizokuwa zimedhaminiwa na kampuni ya GAPCO na kufanyika mjini Kilimanjaro mwishoni mwa wiki iliyopita.
Viongozi wa kampuni ya GAPCO wakiwa na Mgeni Rasmi Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Nape Nnauye (wa pili toka kushoto) akiwaangalia walemavu wakitimua mbio za Kilometa 10 za Kilimanjaro Marathon 2016 zilizokuwa zimedhaminiwa na kampuni ya GAPCO na kufanyika mjini Kilimanjaro mwishoni mwa wiki iliyopita.
Mmoja ya walemavu Vosta Peter (30) kutokea Dar es Salam akiongoza katika mbio za Kilometa 10 za Kilimanjaro Marathoni 2016 zilizokuwa zimedhaminiwa na kampuni ya GAPCO na kufanyika mjini Kilimanjaro mwishoni mwa wiki iliyopita.
Kila mmoja akionyesha ustadi wa kuendesha baskeli.
Mwanadada Linda Macha (32) ambaye aliweza kuwashinda wenzake katika mbio za Kilometa 10 za Kilimanjaro Marathoni 2016 zilizokuwa zimedhaminiwa na kampuni ya GAPCO na kufanyika mjini Kilimanjaro mwishoni mwa wiki iliyopita. 
Mshindi wa mbio za Kilometa 10 za Kilimanjaro Marathon 2016, Vosta Peter (30) akishangilia mara baada ya kumaliza. Mbio hizo za Kilometa 10 zilidhaminiwa na kampuni ya GAPCO na kufanyika mjini Kilimanjaro mwishoni mwa wiki iliyopita.
Mshindi wa kwanza kwa mbio za walemavu kilomita 10, Vosta Peter (30) akipokea cheki ya Shilingi Milioni Moja kutoka kwa kampuni ya GAPCO, wanaomkabidhi ni Meya wa Manispaa ya Moshi Raymond Mboya (kushoto), Mkurugenzi Mkuu wa Kampuni ya Gapco Afrika Mashariki, Macharia Irungu (anayepiga makofi toka kushoto) na Mkurugenzi Mtendaji wa GAPCO Tanzania, Vijay Nair. 
Picha zote na Cathbert wa Kajunason Blog.
Na Cathbert Kajuna - Kilimanjaro. 
Mkurugenzi Mkuu wa Kampuni ya GAPCO Afrika Mashariki, Macharia Irungu amewataka wanamichezo kujibidishe kwa kufanya mazoezi mara kwa mara ili waweze kufanya vizuri katika mashindano wanayoshiriki. 
Akizungumza mwishoni mwa wiki mjini Kilimanjaro wakati wa Mashindano ya Kilimanjaro Marathoni 2016, ambapo GAPCO ndiyo waliodhamini upande wa Walemavu, alisema kuwa wanamichezo wengi walemavu na hata wasiowalemavu hujisahau sana kufanya mazoezi ya kutosha jambo linalowafanya wengi wao kutoweza kufanikiwa kushinda kwenye mashindano. 
Aliongeza kuwa wao kampuni ya GAPCO waliweza kujitolea kuwasaidia walemavu ili waweze kuonyesha vipaji vyao japo mwanzo waliweza kuwasisitiza wafanye mazoezi na ndiyo maana wameweza kufanya vyema. "Napenda kuwaasa wanamichezo wale walemavu na wasio walemavu, wapende kujitoa kufanya mazoezi ya kutosha maana siri ya ushindi ni mazoezi wala hakuna muujiza unaoweza kukupa ushindi kama haujajitoa kufanya mazoezi ya kutosha," alisema Irungu. 
Kwa upande wake Mkurugenzi Mtendaji wa kampuni ya GAPCO Tanzania, Vijay Nair alisema wamefurahishwa na mahudhurio ya watu wenye ulemavu waliojitoa kushiriki mashindano hayo, na wao hawatawatupa wataendelea kuwa nao bega kwa bega. Bw. Nair aliwaasa walemavu wawe na moyo wa upendo na mshikamano ili waonyeshe mfano bora hata wanapojitokeza kusaidiwa wafaidike kwa pamoja. 
Mashindano ya mbio za Kilimanjaro marathon za 10KM kwa walemavu zilidhaminiwa na GAPCO ambapo shindano lilijumuisha baiskeli za walemavu zenye matairi matatu zenye viwango vya kimataifa wapatao 60 kutoka Dar es Salaam, Arusha, Moshi na Zanzibar.

The Creation of the 2016 Rio Olympic Games

March 01, 2016
Credit: Creative Commons/JorgeBRAZIL
Ever since the Olympic Games of 2016 were declared, the city of Rio de Janeiro is teeming up with many activities. The Olympics in Rio are unique in its own way as they are the first of its kind to be held in a South American country. The opening ceremony will be held on August 5, 2016, and the excitement will last through to the concluding ceremony which will be held on August 21, 2016.
The Brazilian government is investing millions in preparation of the venue, and are ensuring that no stone is left unturned in its final lap. Several new structures are being constructed as well as the existing ones are getting renovated. Barra da Tijuca will be the place where the Olympic village is situated, and the players are supposed to stay there itself.
The venues for the major games will be as follows:
Maracana Stadium – opening and the closing ceremonies.
Joao Haelange Stadium –athletic events
Maria Lenk Aquatic Center –water polo, diving and swimming
Copacabana Beach – marathon swimming, beach volleyball, and triathlon
HSBC Arena –basketball, gymnastics, and trampoline
Sambadrome –archery and marathon
Maracanazinho Gymnasium –volleyball
Lagoa Rodrigo de Freitas –canoeing and rowing competitions
In spite of all the negative things that are being said about the event, we cannot ignore the fact that this is going to be the most exhilarating event in the history of Rio de Janeiro.
Check out Rio Olympics 2016 page for more updates on the 2016 Olympic Games.

Giniki Secures First Place in Kunming Plateau Half Marathon (1:04:02)

March 01, 2016

Kunming Plateau Half Marathon is increasingly becoming popular across China with tens of thousands of people practicing and joining the event every year.

Emanuel Gisamoda Giniki from Tanzania won the men's title at Kunming Plateau Half Marathon with a time of 1 hour 4 minutes and 2 seconds while Rebecca Chesir from Kenya won the women's championship.
 
China is also home to dozens of other International Marathons including the ones in Beijing, Xiamen and Shanghai.

2016 Rio Olympics participation standards for Tanzania

March 01, 2016

Kwa yeyote atakayefikia viwango hivyo katika kila distance husika na katika viwanja vinavyotambulika (Certified). Atakuwa na nafasi ya kuiwakilisha Tanzania katika 2016 Rio De Janeiro Olympic Games.

Mfahamu Mwanariadha Mkongwe Phaustin Baha Sulle

February 28, 2016


Phaustin Baha Sulle (born 30 May 1982 in Arusha) is a Tanzanian long-distance runner who specializes in the half marathon and marathon. He won the silver medal at the 2000 World Half Marathon Championships. In 1999 he won the Paris Half Marathon and set a course record at the Marseille-Cassis Classique Internationale.
Achievements
Representing
1999 Paris Half Marathon Paris, France 1st Half marathon 1:01:37
Lille Half Marathon Lille, France 1st Half marathon 1:00:38
Corrida de Langueux Langueux, France 1st 10 km
World Half Marathon Championships Palermo, Italy 15th Half marathon
Marseille-Cassis Classique Internationale Marseille, France 1st Half marathon 1:00:24
2000 World Half Marathon Championships Veracruz, Mexico 2nd Half marathon
2001 World Half Marathon Championships Bristol, England 12th Half marathon
3rd Team
Personal bests

Mkongwe Phaustine Baha akimaliza wa 3 katika mbio za 5km ,huku nyuma akitizamwa na mkongwe Filbert Bayi. Hii ni Dodoma Hapa Kazi Tu Half Marathon 2016

Picha : Taswira mbalimbali ya Hapa Kazi Tu Dodoma Half Marathon

February 13, 2016
 Wilhelm Gidabuday na Filbert Bayi wakiratibu Mchezo wa Dodoma Hapa Kazi Tu Half Marathon, Mkoani Dodoma. PICHA ZOTE NA GADIOLA EMANUEL , Wazalendo 25 Blog

Wafanyakazi wa NHIF wakipiga picha na Waziri Nape Nnauye mara baada ya kushiriki mbio hizo

 Wafanyakazi wa NHIF Walivyoshiriki mbio hizo

Mkongwe Phaustine Baha akimaliza wa 3 katika mbio za 5km ,huku nyuma akitizamwa na mkongwe Filbert Bayi
 Juma Ikangaa na Kocha Francis John

 Wabunge wakipasha kwa muziki mara baada ya kushiriki mbio hizo

 Baadhi ya Viongozi wa RT


 Wakongwe wa Uratibu wa Mashindano ya Riadha nchnini, Wilhelm Gidabuday na Phaustine Baha

 Wilhelm Gidabuday na Mkongwe Juma Ikangaa
 Gidabuday, Juma Ikangaa na Phaustine Baha

 Francis Dande akimuuliza jina Mbunge wa Mbulu Vijijini, pembeni ni Dokii msanii wa bongo Movie
 Majjid Mjengwa akizungumza na Mkorea aliyeshiriki mbio hizo
 Wilhelm Gidabuday na Tullo Chambo
 Wachezaji wa Riadha wa Mkoa wa Dodoma wakipiga picha na mkongwe Juma Ikangaa
 Mratibu wa Mashindano Filbert Bayi akizungumza na wanahabari






Rio Olympics preps in disarray

February 13, 2016
TOC
 Kutoka kushoto wa tano ni Said Makula (0957) aliefikisha viwango vya kushiriki Olimpiki nchini Brazil mwaka huu


Tanzania Olympics Committee (TOC) says it has no money to organise a camp for athletes ahead of the Brazil Olympics.
Speaking yesterday, TOC secretary general Filbert Bayi said the committee has communicated the development to sports associations whose athletes will compete at the Rio Games.
He said TOC has asked the sports associations to source for their own money and organise camping to prepare for the Games.
This is a big blow to financially constrained sports associations as they depend on TOC to organise camping for 30 days and another one or two weeks in the Olympic Games host nation.
The camp in host nation helps athletes to acclimatise with the weather and in most cases it is done at the village where the team camps. 

“For now we don’t have money to organise a local camp and even that of one week in the  Olympics host nation, we have communicated to all sports associations on this development, unless some miracle happens then  we can organise the camp. 

For now there is no money, I think sports associations have to follow what Athletics Tanzania (AT) has done by organising their camp early”, he said.
This is not the first time that Tanzania athletes will travel to international event without proper camping. 

At the last year All Africa Games staged in Brazzaville, local athletes did not have any camp after the  government advised NSA to prepare for their athletes training as it (government) had no money for camping.
Meanwhile, eight athletes have reported for athletics camp in Siha District of West Kilimanjaro to prepare for the Brazil Olympics.
Athletics Tanzania’s (AT) acting secretary general Ombeni Zavala said the athletes will be at the camp up to August when they will depart for Brazil to compete at the Games.
She named the athletes as Fabian Joseph, Fabian Nelson, Alphonce Felix, Saidi Makula, Emmanuel Gimiki, Joseph Panga and Gabriel Gerard. They are being trained by coaches Francis John and Zakaria Barie.

Zavala said only Alphonce Felix and Saidi Makula qualified for the Brazil Olympic Games, but the aim of AT is to see many athletes qualify for the Games.
“Currently its only two athletes who qualified for this year Brazil Olympics, we  hope the other athletes at the camp would meet the qualifier marks. Those who will not qualify for the Olympics will use this month’s Killimanjaro International Marathon to qualify or compete at other international events recognised by the IAAF ”, she said.
She said as AT, they encourage athletes to compete at top international event as the shows give local athletes more exposure which helps them to excel at global platform such as the Olympic Games.
SOURCE: THE GUARDIAN

GIDAMIS SHAHANGA NDIYE MWANARIADHA MTANZANIA WA KWANZA KUWEKWA KWENYE STAMP YA TANZANIA YA MWAKA 1980

February 13, 2016

 GIDAMIS SHAHANGA ni mwanariadha maarufu sana wa miaka ya 70 naa... hadi 1990 aliyeliletea Taifa letu la Tanzania heshima na rekodi isiyofutika katika rekodi sahihi za riadha nchini Tanzania na kote duniani.

Gidamis ndiye mwanariadha wa kwanza hadi sasa ambaye picha yake iliwekwa katika STAMP (ya barua) ya Tanzania mnamo mwaka 1980 wakati wa utawala wa Mhasisi wa Taifa la Tanzania Hayati Mwalimu Julius Kambarage Nyerere.

Gidamis Shahanga ni mwanariadha mstaafu aliyekuwa amejikita katika  mbio ndefu za mita 10,000 na mbio za Marathon. Shahanga alizaliwa Septemba 4, 1957 kaskazini mwa Tanzania yani Katesh Wilayani Hanang Manyara.

 Kutoka kushoto (25) ni Zacharia Barie (Mtanzania) na katikati (26) ni GIDAMIS SHAHANGA wakimuonyesha umahiri mkenya (23) katika mbio zilizofanyika San Juan Porto Rico miaka ya 1980.

 Ni vyema serikali na wadau wa michezo nchini kuwaenzi wachezaji wa zamani walioliletea Taifa letu heshima katika michezo mbali mbali hapa nchini kama Gidamis Shahanga. Kwa pamoja Site hii ya Asili Yetu Tanzania inampongeza sana bwana Gidamis Shahanga kwa kuonyesha ushujaa wake katika mchezo wa riadha hapa nchini miaka ya 70.

 HAYA NI BAADHI YA MAFANIKIO YAKE YA KIMATAIFA 
 
 
Source: Victormachota.

Waziri Nape mgeni rasmi Kilimanjaro Marathon.

February 13, 2016



 Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Nape Moses Nnauye (MB) akisalimiana na Mkurugenzi Mtendaji wa TBL Group Roberto Jarrin alipomtembelea ofisini kwake leo jijini Dar es Salaam.
 Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Nape Moses Nnauye (MB) akielezea jambo alipotembelewa na Uongozi wa TBL na Excutive Solution ambao ni wadhamini na waratibu wa Mbio za Kilimanjaro Marthon leo jijini Dar es Salaam. Katikati ni  Mkurugenzi Mtendaji wa TBL Group Roberto Jarrin na kushoto ni Mkurugenzi wa Masuala ya Ushirikiano Bibi. Georgia Mutagahywa.
 Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Nape Moses Nnauye (MB) akimsikiliza kwa makini Mkurugenzi Mtendaji wa TBL Group Roberto Jarrin alipomtembelea ofisini kwake leo jijini Dar es Salaam.
 Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Nape Moses Nnauye (MB) akifurahia jambo alipotembelewa na Uongozi wa TBL na Excutive Solution ambao ni wadhamini na waratibu wa Mbio za Kilimanjaro Marthon leo jijini Dar es Salaam. Kutoka kulia kwa Waziri ni  Mkurugenzi Mtendaji wa TBL Group Roberto Jarrin, Mkurugenzi wa Masuala ya Ushirikiano Bibi. Georgia Mutagahywa na Mkurugenzi Mkuu wa Excutive Solution na Mshauri wa Mahusiano wa TBL Bw. Aggrey Marealle.
 Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Nape Moses Nnauye (MB) akimsikiliza kwa makini Mkurugenzi Mtendaji wa TBL Group Roberto Jarrin (kushoto) alipomtembelea ofisini kwake leo jijini Dar es Salaam. Katikati ni Mkurugenzi Mkuu wa Excutive Solution na Mshauri wa Mahusiano wa TBL Bw. Aggrey Marealle NA Mkurugenzi wa Masoko wa TBL Group Bibi. Kushilla Thomas (wapili kutoka kulia).
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Nape Moses Nnauye (MB) akikabidhiwa zawadi kutoka TBL kwa makini Mkurugenzi Mtendaji wa TBL Group Roberto Jarrin (kushoto) kupitia Bia yake ya Kilimanjaro Lager alipomtembelea ofisini kwake leo jijini Dar es Salaam. Kutoka kushoto Mkurugenzi wa Masoko wa TBL Group Bibi. Kushilla Thomas (wapili kutoka kulia) na Meneja Masuala ya Nje na Mawasiliano Bibi. Emma Oriyo.
Picha Zote na: Frank Shija, WHUSM.


Na: Frank Shija, WHUSM
WAZIRI wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Nape Moses Nnauye anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika mashindano ya Kilimanjaro Marathoni yatakayofanyika tarehe 28 Februari kwenye viwanja vya Chuo Kikuu cha Ushirika Moshi.

Hayo yamebainisha na Mkurugenzi Mkuu wa Kampuni ya Executive Solution ambayo ndio waratibu wa mbio hizo Bw. Aggrey Marealle walipotembelea ofisini kwa Waziri leo jijini Dar es Salaam.

“Mbio za Kili Marathon zinatarajia kufanyika tarehe 28 mwezi huu katika viwanja vya Chuo Kikuu cha Ushirika Moshi ambapo mgeni rasmi atakuwa Mhe. Nape Moses Nnauye Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo”. Alisema Marealle.

Marealle alisema kuwa Mbio hizo zitakuwa katika makundi manne ambayo ni mbio za Kilomita 42 ambazo ndiyo marathoni yenyewe inayothaminiwa na TBL kupitia bia ya Kilimanjaro,zingine ni Nusu Marathon za kilomita 21 zinazodhaminiwa na Tigo,mbio za kilomita 10 zinazowashirikisha walemavu wanaotumia Baiskeli za matairi matatu na Viti vya matairi zinazodhaminiwa na kampuni ya mafuta ya Gapco na mbio zinginge ni za kilomita 5 ambazo zinadhaminiwa na TBL kupitia kinywajji cha Grand Malt

Aliongeza katika mbio hizo washindi kumi kila kundi watapewa zawadi ambapo mshindi wa kwanza kwa mwanaume na mwanamke katika mbio za kilomita 42 watapatiwa zawadi ya shilingi milioni nne kila mmoja.

Aidha alisema kuwa zaidi ya washiriki 7000 wanakadiriwa kushiriki mbio hizo huku kati yao takribani washiriki 1000 watatoka nje ya nchi.



Kilimanjaro Marathon inatimiza miaka 14 tokea kuanzishwa kwake ambapo waandaji wa mashindano hayo ni Kampuni ya Wild Frontiers ya Afrika Kusini na kuratibiwa na Executive Solutions Ltd ya Tanzania na mdhamini mkuu wa mbio hizo ni Kampuni ya Bia TBL kupitia Bia ya Kilimanjaro Lager.

Olympic movement shows support for Rio 2016

February 05, 2016
TOC

IOC President Thomas Bach stressed the importance of the Olympic family working together (Photo: Getty Images/Matt King)

IOC and International Federations working with Rio 2016 to find intelligent solutions to budgetary challenges.


“The Olympic movement will show solidarity with the Brazilians in order to achieve a balanced budget, which will then serve as a solid foundation for the next six months to have finally successful and excellent Olympic Games in Brazil,” said Thomas Batch, the president of the International Olympic Committee (IOC) this week.
On Monday and Tuesday (1-2 February) Rio 2016 met with representatives of the 28 Olympic summer sport International Federations (IFs) in a joint effort to deliver efficiencies in the budget for the Olympic Games. In line with the IOC’s Agenda 2020 reforms, strategies for maintaining a balanced budget were the focus of the meeting at the IOC headquarters in Lausanne, Switzerland.
The parties worked together to find creative solutions that will allow organisers to deliver successful Games on a responsible budget. With Brazil currently in recession, sustainability and legacy are key to all Games planning and the Rio 2016 organising committee is committed to using zero public money.
The meeting was part of the ongoing close dialogue between the IOC, Rio 2016 and the IFs. Rio 2016 President Carlos Nuzman led the Rio 2016 delegation and was accompanied by his executive director of sport Agberto Guimarães and sport director Rodrigo Garcia. The IOC was led by Olympic Games executive director Christophe Dubi and sport director Kit McConnell.
Among the ideas designed to increase efficiency that were presented to the IFs were shared working areas and more cost-effective transport solutions.
Matt Smith, executive director of the International Rowing Federation (FISA), told Inside that Game that the meeting was “really useful for us all” before adding “we have to be very efficient and make the Games financially viable for the future”.
The process is in line with the IOC's Agenda 2020 reform.  within which promoting sustainability in all aspects of the Olympic Games is a key component.
 

Copyright © 2015 - 2025 Athletics Tanzania All Right Reserved

Developed by Gadiola Emanuel
Theme By AP | Developed By Gadiola Emanuel