Home
TOC
Ufunguzi wa Mkutano Mkuu wa Kawaida wa Mwaka wa TOC unaofanyika Kituo cha Amani, Welezo Zanzibar
Ufunguzi wa Mkutano Mkuu wa Kawaida wa Mwaka wa TOC unaofanyika Kituo cha Amani, Welezo Zanzibar
By
Athletics Tanzania
December 31, 2015
 |
Katibu
Mkuu wa Kamati ya Olimpiki Tanzania (TOC), Filbert Bayi akisoma taarifa
yake ya mwaka katika Mkutano Mkuu wa TOC Kituo cha Amani Welezo,
Zanzibar. Kulia ni Rais wa TOC Gulam Rashid na Mhazini msaidizi Juma
Zaidi (kushoto). |
 |
Baadhi ya wajumbe wa Mkutano Mkuu wa Kamati ya Olimpiki Tanzania (TOC) wakati wa mkutano huo jana Zanzibar. |
|
 |
Rais
wa Kamati ya Olimpiki Tanzania (TOC), Gulam Rashid wakati wa ufunguzi
wa Mkutano Mkuu wa kawaida wa mwaka wa TOC unaofanyika leo Zanzibar.
Kushoto ni Katibu Mkuu wa TOC, Filbert Bayi na Mhazini Mkuu Charles
Nyange. |
 |
Mhazini
Mkuu wa Kamati ya Olimpiki Tanzania (TOC), Charles Nyange (kushoto)
akipokea tuzo kwa niaba ya mmoja ya makampuni yaliyodhamini Siku ya
Olimpiki. |
 |
Wajumbe wa Kamati ya Utendaji ya TOC katika picha ya pamoja mjini Zanzibar. |
SIMILAR ARTICLES
Post a Comment