Athletics Body to Move Its Haedquarters to Dodoma

December 22, 2016
Left, Secretary General (AT) Wilhelm Gidabuday and the Former New York City Marathon Champion, Juma Ikangaa. Picture by Gadiola Emanuel.



By Zephania Ubwani

Arusha — Athletics Tanzania (AT) may be the first national sports association to shift its head offices from Dar es Salaam to the designated capital Dodoma, according to its recently elected secretary general, Wilhelm Gidabuday.

The body is already in contact with the Capital Development Authority (CDA), a government institution in charge of infrastructure development in Dodoma, to secure a plot for construction of its headquarters. "We need a plot for our permanent home. After securing it, we will apply for a grant to meet the cost of construction," he told The Citizen here on Monday during an interview on a wide range of issues

He said AT president Anthony Mtaka, who doubles as the Simiyu regional commissioner, has been in touch with CDA officials over the issue.

"After getting the plot, we will seek a title deed we will use as collateral to secure a loan for the project," he said, noting that they will approach the social security institutions for financial support.

Gidabuday, a former national athlete and until recently, a coordinator of various athletics promotion programmes, was elected the new AT secretary general early this month.

He succeeded Suleiman Nyambui who is now an athletics coach in Brunei, a South East Asia sultanate.

He said he would address the major challenges facing the association, including lack of office accommodation that merits its status, working equipment and competent staff for its secretariat.

"We need a modern, spacious and well equipped office which will suffice all our administrative needs," he said, noting that AT, which is one of the oldest sports associations in the country, currently does not have an office that meets its requirements.

"Presently, I can dare say, we have no clear office. There is a room near the Uhuru Stadium, but it's in poor shape," he said, adding that he would fight for a comfortable office space in Dar es Salaam before the Dodoma project is realised.

The long-term plan is to construct the multi-purpose building in Dodoma which will be known as Riadha Tanzania House. Besides serving as the permanent home for AT, some rooms would be rented out to other institutions.

However, Gidabuday insisted that their dreams for a permanent home would depend on support from the government, especially the ministry responsible for sports, CDA, the National Sports Council (NSC) as well as the International Association of Athletics Federation (IAAF), a governing body for the athletics in the world headquartered in Monaco.

TANAPA yaiongezea nguvu timu ya RT, kwa ajili ya wanariadha wanaojiandaa na Olimpiki

July 26, 2016

Meneja Mawasiliano wa Shirika la Hifadhi za Taifa (TANAPA) Pascal Shelutete akitoa neno la ukaribisho kwa wanahabari na wageni wengine katika hafla fupi ya kukabidhi hundi kwa wanariadha wanaounda timu ya taifa, inayojiandaa na mashindano ya Olimpiki yatakayoafanyika mwezi Agosti  nchini Brazil.
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Hifadhi za Taifa (TANAPA) Allan Kijazi,akizungumza wakati wa hafla fupi ya kukabidhi hundi ya Shilingi Milioni tano kwa wanariadha wanaounda timu ya taifa inayojiandaa na mashindano ya Olimpiki.
Mkurugenzi Mkuu  wa Shirika la Hifadhi za Taifa (TANAPA) Allan Kijazi akikabidhi mfano wa hundi ya Shilingi Milioni tano kwa Rais wa Shirikisho la Riadha Tanzania (RT) Anthony Mtaka kwa ajili ya kusaidia wanariadha wanaounda timu ya taifa wakijiandaa na mashindano ya Olimpiki. 
Mkurugenzi Mkuu  wa Shirika la Hifadhi za Taifa (TANAPA) Allan Kijazi akikabidhi "Track Suit "maalumu zenye maandishi na nembo yanayotangaza vivutio vya utalii vilivyopo nchini kwa Rais wa Shirikisho la Riadha Tanzania (RT) Anthony Mtaka kwa ajili ya kusaidia wanariadha wanaounda timu ya taifa wanaojiandaa na mashindano ya Olimpiki
Rais wa Shirikisho la Riadha Tanzania (RT) Anthony Mtaka akizungumza mara baada ya kukabidhiwa hundi pamoja na mavazi maalumu kwa ajili ya wanariadha hao .
Baadhi ya viongozi wa Shirika la Hifadhi za Taifa (TANAPA) waliohudhuria hafla hiyo.kutoka kushoto Mkurugenzi wa Utalii na Masoko,Ibtahim Musa,Meneja Utalii Johnson Manase na Mhifadhi Vitalis Uruka.
Wanariadha watakaoiwakilisha nchi katika mashindano ya Olimpiki katika jiji la Reo De Jeneiro nchini Brazil wakiwa katika mavazi maalumu yanaotangaza vivutio vilivyoko nchini.
Mkufunzi wa Wanariadha wanaojiandaa na mashindano ya Olyimpiki ,Francis John akizungumzia matarajio yake juu ya vijana hao.
Mmoja wa Wanariadha hao,Alphonce Felix Simbu akizungumza mara baada ya kupoke msaada kutoka  TANAPA.
Baadhi ya Wanahabari na wageni wengine waliofika katika ofisi za Makao Makuu ya Shirika la Hifadhi za Taifa (TANAPA) kushuhudia makabidhiano hayo.
Mwanariadha Said Makuka atakayepeperusha bendera ya Tanzania katika michuano ya Olyimpiki nchini Brazil.
Mwanariadha Sara Ramadhan ,mwanadada pekee atakayepeperusha bendera ya Tanzania katika michuano ya Olyimpiki nchini Brazil.
Mwanariadha Alphonce Felix atakayepeperusha bendera ya Tanzania katika michuano ya Olyimpiki nchini Brazil.
Mwanariadha Fabian Joseph atakayepeperusha bendera ya Tanzania katika michuano ya Olyimpiki nchini Brazil.
Wanariadha wanne watakao iwakilisha Tanzania katika Michuano ya Olyimpiki nchini Brazil wakiwa katika picha ya pamoja na Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Hifadhi za Taifa (TANAPA) Allan Kijazi pamoja na Rais wa Shirikisho la Riadha Tanzania (RT) Antony Mtaka ,wengine kutoka kulia ni Mkufunzi wa wanariadha hao,Francis John na anyefuatia ni Mkurugenzi wa Utalii na Masokowa Shirika la Hifadhi za Taifa (TANAPA) Ibrahim Musa.

Na Dixon Busagaga wa Michuzi Blog,Kanda ya Kaskazini.

SHIRIKA la Hifadhi za Taifa (TANAPA) limetangaza  kutumia fursa ya mashindano ya Olyimpiki yanayotarajia kuanza mwezi ujao katika jiji la Rio de Janeiro nchini Brazili kutangaza vivutio vya utalii kupitia wanariadha wa Tanzania.

Hadi sasa ni wanariadha wanne ,wakiume watatu na wa kike mmoja ndio waliofuzu kushiriki mashindano hayo na tayari wako kambini katika hosteli za Chuo cha Misitu cha FITI zilizoko West Kilimanjaro wilayani Siha.

Akiongea mjini Arusha wakati akikabidhi msaada wa fedha na vifaa kwa ajili ya wanariadha hao Mkurugenzi Mkuu wa TANAPA,Allan Kijazi amesema wameamua kutumia fursa hiyo pia kusaidia wanariadha hao wanaoiwakilisha nchi katika mashindano hayo ili waweze kurejea na medali.

Akishukuru kwa msaada huo Rais wa Shirikisho la Riadha nchini ambaye pia ni Mkuu wa Mkoa wa Simiyu AnthonY Mtaka amesema fedha hizo zitatumika kwa ajili ya kuwakatia bima ya Afya mwaka mmoja wanariadha hao pamoja na familia zao ili wanapokua nchini Brazili wasiwe na mawazo mengi kuhusiana na familia zao walizoziacha hapa nchini.

Naye mmoja wa wanariadha waliofuzu kushiriki mashindano hayo Alphonce Felix pamoja na mkufunzi wa timu hiyo ya Riadha Francis John wameushukuru uongozi wa Riadha kwa kuiwezesha timu hiyo kukaa kambini kwa miezi saba na kuahidi safari hii timu hiyo haiendi kushiriki bali kupambania medali.

Wanariadha waliopo katika timu hiyo ya taifa wanaotarajiwa kwenda Brazili ni mwanamke pekee Sara Ramadhani, Fabiani Joseph, Saidi Makuka na Alfonce Felix .

Usajili Azania Kids Run 2016 wapamba moto

June 02, 2016


MCHAKATO wa usajili wa washiriki wa Mbio za Watoto za Azania Bank Kids Run 2016, umezidi kushika kasi, huku siku tatu zikiwa zimesalia kabla ya kufanyika kwake Juni 5 kwenye Viwanja vya Mnazi Mmoja jijini Dar es Salaam.

Akizungumza jijini Dar es Salaam, mmoja wa waratibu wa mbio hizo, Wilhelm Gidabuday, alisema kufikia jana mchana, mchakato wa usajili ulikuwa ukiendelea vema, ambako wazazi na walezi wamejitokeza kusajili watoto wao.

Gidabuday alisema kuwa, matarajio ni kusajili watoto wapatao 2,000 walio na umri chini ya miaka 16, ambao watashiriki Azania Bank Kids Run 2016, mbio zilizogawanywa katika kategori tano za kilomoita 5, km 2, km 1, mita 100 na mita 50.
Alibainisha kuwa, fomu za ushiriki zinapatikana katika Matawi ya Azania Bank popote jijini Dar es Salaam, pamoja na Ofisi za Shirikisho la Riadha Tanzania (RT), pamoja na Ofisi za BMT zilizoko Samora Avenue katikati ya jiji. Aliwataka wazazi na walezi ambao hawajachukua fomu za ushiriki wa watoto wao, kuchangamkia mchakato huo kwa kufika katika vituo husika na kununua fomu hizo kwa shilingi 2,000 tu, ili kuwawezesha watoto kushiriki na kushinda zawadi.

Naye, Ofisa Masoko Mwandamizi wa Azania Bank inayodhamini mashindano hayo, Othman Jibrea, alisisitiza umuhimu wa wazazi na walezi kusajili watoto wao katika Azania Bank Kids Run, ili kufikia lengo lao la kuibua vipaji vipya vya riadha.

Jibrea alibainsiha kuwa, Azania Bank imejitosa kudhamini mbio hizo kutokana na mlengo wake wa kuibua vipaji vichanga katika riadha, hivyo ili kufikia lengo, wazazui na walezi hawana budi kujitokeza kwa wingi kusajili watoto wao.

Alizitaja zawadi za mbio za Kilomita tano kuwa ni Sh. 200,000 kwa mshindi wa kwanza, Sh. 150,000 kwa mshindi wa pili na Sh. 100,000 kwa mshindi wa tatu, wote wakitarajiwa pia kupata medali, begi lenye vifaa vya shule na sare za michezo (track suit).

Jibrea alibainisha kuwa, mshindi wa kwanza wa mbio za kilomita 2 atajinyakulia Sh. 100,000, mshindi wa pili Sh. 75,000 na mshindi wa tatu Sh. 50,000, pamoja na medali, begi lenye vifaa vya shule na sare za michezo.

Katika mbio za kilomita 1, Jibrea alitaja zawadi za washindi kuwa ni Sh. 75,000 kwa mshindi wa kwanza, 50,000 kwa mshindi wa pili na Sh. 40,000 kwa wa tatu, ambao watapata zawadi ya ziada ya medali, begi lenye vifaa vya shule na sare za michezo.

"Pia, washindi wa nne hadi wa 10 wa mbio hizo, watapata kifuta jasho cha Sh. 15,000, begi lenye vifaa vya shule na sare za michezo. Nia ni kuwafanya watoto watakaoshiriki kutotoka bure mwishoni mwa mashindano," alisema Jibrea.

RT, Azania Bank watangaza zawadi za Kids Run zitakazofanyika Mei 5 kwenye viwanja vya mnazi mmoja kutumia Sh. Milioni 130 na ushee

June 01, 2016


Ofisa Masoko Mwandamizi wa benki ya Azani, Othman Jibrea(kushoto) akizungumza na waandishi wa habari leo katika Ofisi za Baraza la Michezo la Taifa (BMT). Kulia ni mjumbe wa Kamati ya Utendaji ya RT, Tullo Chambo.

Na Mwandishi Wetu
RIADHA Tanzania (RT) kwa kushirikiana na Benki ya Azani, leo wametangaza zawadi kwa washindi wa mbio za watoto, Kids Run, zitakazofanyika Juni 5 katika viwanja vya Mnazi Mmoja jijini Dar es Salaam.

Mjumbe wa Kamati ya Utendaji ya RT, Tullo Chambo alisema  mbio hizo zitakuwa katika vipengele vitano vya umbali wa kilometa tano, mbili na moja, huku zingine ni meta 100 na meta 50 kwa wavulana na wasichana kulingana na umri.
 
Alisema wale wa kilometa tano, mbili na moja wenyewe watapita katika barabara mbalimbali za jijini Dar es Salaam na kumalizia mbio hizo katika viwanja hivyo vya Mnazi Mmoja walikoanzia.

Mjumbe wa Kamati ya Utendaji ya Riadha Tanzania (RT), Tullo Chambo akizungumza na waandishi wa habari leo kuhusu Kids Run zitakazofanyika Mei 5 jijini Dar es Salaam.
Alisema maandalizi yanaenda vizuri na ni matarajio yao kuwa zaidi ya watoto 2,000 watajitokeza kushiriki katika mbio hizo za kwanza na aina yake kushirikisha watoto.

Ofisa Masoko Mwandamizi wa benki ya Azani, Othman Jibrea alisema kuwa mshindi wa kwanza wa mbio za kilometa tano ataondoka na sh. 200,000, suti ya michezo na vifaa vya shule.

Mratibu wa Kids Run, Wilhelm Gidabuday akizungumza leo kuhusu mbio hizo. Kulia ni Ofisa Masoko Mwandamizi wa Benki ya Azania, Othman Jibrea.
Mshindi wa pili atapewa sh. 150,000 suti ya michezo na vifaa vya elimu, wakati mshindi watatu atapewa sh. 100,000 na vifaa vya elimu.

Mshindi wa kwanza katika mbio za kilometa mbili ataondoka n ash. 100,000, wakati wa pili atapewa sh. 75,000 na watatu sh. 50,000, ambapo wote mbali na zawadi za fedha watapewa vifaa vya shule.
 
Mjumbe wa Kamati ya Utendaji ya Riadha Tanzania, RT, Tullo Chambo.
Jibrea alisema washindi wa kilometa moja watapata zawadi za sh. 75,000, 50,000 na 40,000 pamoja na vifaa vya shule.
Alisema kuwa washindi wote pia watafungiliwa akaunti katika benki ya Azani, ambako watawekewa zawadi zao hizo.

Aidha, Benki ya Azani imesema kuwa itatumia zaidi ya Sh.Milioni 130 kugharamia mashindano hayo, ambayo ni ya kwanza na ya aina yake kufanyika hapa nchini.
Ofisa Masoko Mwandamizi wa benki ya Azani, Othman Jibrea akizungumza na waandishi wa habari leo kuhusu Kids Run.
 Watoto wa umri tofauti wanatarajia kuchuana vikali katika mbio hizo za Kids Run Mei 5, 2016.

Benki ya Azania yadhamini Kids Run Dar

May 22, 2016

RC Makonda akishuhudia makubaliano
 NA ESTHER GEORGE, DAR ES SALAAM

BENKI ya Azania imeingia makubaliano na Shirikisho la Riadha Tanzania (RT) kuendesha mashindano ya riadha kwa watoto walio chini ya umri wa miaka 16 yajulikanayo kama Kids Run Dar es Salaam yatakayofanyika Juni 5.

Hafla ya makubaliano hayo ilifanyika jana na kushuhudiwa na Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda. Benki hiyo imewekeza shilingi milioni 130 kwa ajili ya mbio hizo. Akizungumza na waandishi wa habari, Mkurugenzi Mtendaji wa Azania, Godfrey Dimoso, alisema benki hiyo inamilikiwa na Watanzania na wamejitosa kudhamini mbio hizo baada ya kukubaliana na RT.

“Hili kwetu ni tukio la kihistoria kwa kuwa benki yetu ni ya kwanza kudhamini riadha tukiwa sekta binafsi, hivyo tumekubaliana na wenzetu wa RT kushirikiana katika hilo,” alisema Dimoso. Kwa upande wake, Makamu wa Kwanza wa Rais wa RT, William Kalaghe, alisema ni mara ya kwanza mashindano hayo kupata wadhamini nje ya Serikali, hivyo itasaidia katika kukuza vipaji vya watoto.

“Hili ni tukio la kihistoria kwetu RT kupata mdhamini nje ya Serikali, tunatarajia watoto zaidi ya 2,000 watashiriki mbio hizi. “Miji mingi duniani imekuwa maarufu kutokana na riadha, nasi tunaamini kuwa mbio hizi zikisimamiwa ipasavyo zitasaidia kwa kiasi kikubwa kukuza mji wetu wa Dar es Salaam,” alisema.
Naye Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Makonda, aliyekuwa mgeni rasmi katika hafla hiyo, alisema watoto wengi wana vipaji, lakini hawapati fursa ya kuendelezwa.

“Kama hatujawekeza kwa watoto, hatuwezi kuendelea kama taifa, michezo si burudani pekee, bali pia ni uchumi wa mataifa mbalimbali, sisi tunazidi kushuka kwa kuwa hatuoni faida ya michezo, lakini tukijipanga vema tutaondokana na uhalifu, vijana watalitangaza taifa na pia kupunguza tatizo la ajira,” alisema Makonda.

Chanzo: Mtanzania

MOUNT HANANG IN NOTHERN TANZANIA IS HOME TO WORLD CLASS ATHLETES

May 22, 2016


Katesh is the capital city of Hanang District of Manyara Region, mt Hanang is the 3rd tallest mountain in Tanzania after mt Meru and mt Kilimanjaro. Hanang District is home to most famous athletes who have represented Tanzania well, led by the legendary  Gidamis Shahanga (Commonwealth Games gold medalist in the marathon 1978 in Edmonton Canada, again won a gold medal in 10,000m in Brisbane Australia in 1982). Gidamis Shahanga become an inspiration to hundreds of young athletes and was seen as an icon and a celebrity both in Manyara Region and Tanzania as a whole. Born in Jarodom Vilage Shahanga is the first born in the family of Sumni Gituru Shahanga, his younger brother (Alfredo Gidabit Shahanga) took up the sports as well.

Gidamis Shahanga's success later produced a pair of world class runners who carried the flag of Tanzania across the world during the 1980s and late 1990s. The late Simon Robert Naali born in Mogitu Village won the bronze medal in 1990 Commonwealth Games marathon in  Auckland New Zealand, Andrea Sambu broke the world Jr. record 3,000m and is the only runner to has won the world cross country championships in Belgium in 1990. Sambu was born in Masakta Village 30 kilometers east of Katesh.

Gewayi Suja, another Jarodom origin won the bronze medal in 1998 Kuala Lumpur Malasia, Mr. Gewayi Suja is a police officer at the Manyara Region HQ. Francis Naali wa the 2002 Commonwealth Games champion held in Manchester United Kingdom, he is the younger brother of the late Simon Robert Naali, he also works as a police officer in Kilimanjaro Region. Other athletes who have won medals or major international meets includes Alfredo Gidabit Shahanga (1989 Berlin marathon in Germany), The late Boay Akonaay has just passed away after a short illness was one of the most famous runners of the mid 1990s, Mr. Akonaay placed 6th at the 1994 Boston marathon and was the Fukuoka marathon champion in the same year, he was born in Bassotu Village 25 kilometers north of the town of Katesh. John Nada Saya who is also 'no longer with us (passed away two years ago) won several big marathons in South Korea and in Europe as well, was also born in Jarodom Village, Jarodm Village is near by the Katesh township and is bordering mt Hanang forest.

All athletes mentioned above came from Hanang District, 'Tanzania has won very few medals; but more medals out of the few are claimed by athletes from Hanang District'. Almost all athletes mentioned have participated in one or more than one Olympic Games.

Kituo cha Michezo ya Riadha kujengwa mkoani Manyara

May 22, 2016

Na Wilhelm Gidabuday,


Waziri wa Michezo / Mh Nape Nnauye
Serikali imesema kuwa itajenga kituo cha michezo ya riadha mkoani Manyara. Maandalizi yakikamilika ujenzi utaanza.

Hali ya hewa ya mkoa wa Manyara inafaa kwa mazoezi ya mchezo wa riadha


Serikali kupitia mkoa wa manyara imepanga kujenga kituo cha michezo kwa kushirikana na wananchi, aidha wanashughulikia kupatikana kwa eneo husika. 

Maandalizi yakikamilika na mazungumzo yakikamilika, ujenzi utaanza.

Giniki - Runner Who Has Sights Set on Glory

May 22, 2016

Emmanuel Giniki Gisamoda in China Recently
Emmanuel Giniki stands tall among the excelling local runners who have weathered the storm to stay at the helm of Tanzania's athletic platform. Born in 1988 in a poor family based in Hanang, Katesh, Manyara, Giniki's running talent can be traced back since his childhood at the Jorodom Primary School.
"I am coming from a poor family where we sometimes went without food. That was our daily life. This is what encouraged me to train hard and I am determined to use athletics to bring my family out of poverty," he said during an exclusive interview with The Citizen.
After completing primary school education in 2007, Gikini joined Ganana Secondary School in Hanang where his running talent was revealed. "I used to compete and win many championships to the extent that teachers and most of my friends suggested that I better drop lessons to concentrate on athletics," he said.
A few years later, he joined the Arusha-based Shahanga Sports Club where his talent was exposed to high profile trainers and other runners. "There I began to learn the game more professionally under the tutelage of widely experienced trainers," he noted. 
Giving a brief over his experience, the 21-year-old marathoner who has so far scooped several medals and honours at different local tournaments, said the country was blessed with many talents, but there was no progressive plan to recruit and groom them.
"Athletics Tanzania (AT) must now prepare a good programme that will deal with identifying and recruiting young talented runners from the grassroots. Tanzania has been endowed with many good runners but the athletics body is not serious enough," he revealed.
Giniki who is inspired by England runner, Mo Farah, remains optimistic that Tanzania will one day outsmart leading countries like Ethiopia if the government started supporting the runners seriously.
"Athletes face several setbacks, ranging from poor training gear, lack of high skilled trainers as well as financial capacity to feature in different international tournaments," he noted.
OLYMPIC GAMES PREPS
Giniki is, however, worried over the Tanzanian runners' performance in the forthcoming 31st edition of the world's top crowd-puller event, the Olympic Games, due to poor preparations and financial constraints.
He said for Tanzania to compete highly in the games, there was a need for long-term preparations.
He disclosed that most of the countries that excel in the Games have a good tendency of preparing their runners a year before.
"I don't have any doubts with the runners who will represent the county in the Rio De Jenairo event, but my worries are due to the poor preparations. There is no training gear so far, apart from the fact that they need several international trials before the event", he asserted.

From Rwanda : RAF deploys 46 monitors in Kigali Peace Marathon

May 22, 2016






The Rwanda Athletics Federation (RAF) has set out 46 people to monitor any cheating in the 12th edition of the Kigali International Peace Marathon today.
Over 4000 athletes from 32 nations will take part in the event which has 3 categories: 42km marathon, 21km half marathon and a 7km run for fun race.
RAF Secretary General Johnson Rukundo told Times Sport that the reason they are increasing supervision of the race is because of allegations of cheating in last year’s race.
“Some people claimed that one of our runners cheated his way to victory although there was no evidence of that. This time we are going to be a lot more vigilant and that is the reason we are using more people to monitor the race,” Rukundo said.
He further noted that; “Each running group will be led and followed by a team of these monitors who will be using motorbikes and another team will be deployed towards the finishing line.”
The Athletics federation had preferred to hire a drone from a Kenyan company that can be easily used by a mobile phone so that they crack down such athletes however according to Rukundo it was not possible to get it in time for the marathon.
“We hope this marathon will be the most successful because everything is in place,” he further added
The half marathon (21km) kicks off at 7:30am followed by the full marathon (42km) that will start fifteen minutes later while the Run for fun (7km) starts at7:50am.
The 21km race starts from Amahoro stadium via Chez Lando, Gishushu, MTN Centre Nyarutarama, Gacuriro, and back to Gishushu, Parliament, Umubano hotel and then to Gishushu, Gisementi, Tigo, University of Rwanda (former KIE), Control Technique, Sports View hotel and back to Amahoro stadium while the 42km will be twice this route.
The run for fun, which is 7km, will start from the Amahoro Stadium via University of Rwanda (former KIE), Control Technique, Sports View hotel and then back to the stadium.

GSM FOUNDATION YAIPIGA JEKI TIMU YA TAIFA YA RIADHA ILIYOKO KAMBINI WEST KILIMANJARO

March 14, 2016

Kocha wa timu ya taifa ya riadha Fracis John (kulia) akiwa na wanariadha wanaounda timu ya taifa ya riadha wakitizama msaada wa Track Suit ulitolewa na GSM Foundation kwa ajili ya wanariadha hao. 
Rais wa Shirikisho la riadha Tanzania (RT) Anthony Mtaka akitizama msaada wa track suit zilizotolewa na kampuni ya GSM Foundation. 
Rais wa Shirikisho la riadha Tanzania ,Anthony Mtaka akikabidhi msaada wa track Suit zilizotolewa na GSM Foundation . 
Wanariadha wanaounda timu ya taifa wakichagua Track suit zilizotolewa na kampuni ya GSM Foundation . 
Kila mmoja akichagua rangi anayopendelea. 
Wanariadha wanaounda timu ya taifa ,wakiwa katika picha ya pamoja na rais wa Shirikisho la riadha Tanzania (RT) Anthony Mtaka pamoja na kocha wao Francis John .
Na Dixon Busagaga wa Kanda ya Kaskazini.

T&F | Gidabuday Takes Home 5000 Meter Title At Championships

March 13, 2016

PITTSBURG, Kan. (March 11, 2016) – Freshman Sydney Gidabuday ran to a 5000 meter crown at the NCAA Division II Championships on Friday to highlight Adams State University on day one of competition from the Robert W. Plaster Center.

Gidabuday's first place mark along with a fifth place finish from the Distance Medley Relay (DMR) team currently position the Adams State University men in second place with 15 team points.

Gidabuday's 5000 meter time of 14:06.09 was enough to fend off Bryce Bradley of Grand Valley State University by 1.84 seconds. The title gives the freshman his sixth overall first place finish during the indoor season. Furthermore, he's now won the last four events he's raced dating back to his mile win at the UW Open on February 14th.

After 10 points from Gidabuday, the DMR team of Brian Baum, Robert Guinn, Kale Adams, and Oliver Aitchison supplied five team points by virtue of placing fourth in a field of 12. The Grizzlies finished in 9:49.90 in a highly contested race. Of the top eight teams, less than five-seconds separated the first through eighth place finishes.

Saturday's final in the mile will see a contingent of four Grizzlies after a superb showing in Friday's preliminary. Holding true to his national top time, Aitchison finished first in the mile prelim with a mark of 4:04.91. Also advancing were Baum in fifth (4:06.27), Chandler Reid in sixth (4:06.30), and Jackson Sayler in ninth (4:06.90).

Also advancing into a Saturday final was Jurgen Themen in the 60 meter dash. The school record-holder in the event managed a time of 6.755 to keep his indoor season alive for another day. Themen placed fifth overall but was third in his heat.

Rounding out the ASU men competitors on Friday were Chaz Butler and Dominic Cabada. Butler tabbed a time of 22.10 for 17th overall in the 200 meter dash as Cabada placed 16th in the 5000 meter run at 15:12.10.

With a third place finish in the DMR, the ASU women stand in a three-way tie for 16th in the team standings. The group of Roisin Flanagan, Jessica Scherrer, Leanne Allen, Noel Prandoni collected six team points in the event with a time of 11:28.53.

Individually, Chante Roberts placed second overall in the 800 meter prelim at 2:09.43. Roberts was ultimately the top finisher in her heat and is poised to finish strong in tomorrow's final.

Meanwhile, Kelsey Corbin was unable to advance in the mile final with a time of 5:03.55 to position her in 16th place.

Action resumes tomorrow at approximately 12:55 pm MT with the men's shot put. Adams State will be represented in the event with Zach Baxter and Sam Reid. The final event of the day is scheduled to begin at 6:15 pm MT in the form of the women's 1600 meter relay.

SOURCE: Adam State University

MWANARIADHA WA TANZANIA ALPHONCE FELIX AREJEA NCHINI BAADA YA KUSHIKA NAFASI YA TATU KATIKA MASHINDANO YA LAKE BIWA MARATHONI YA NCHINI JAPAN.

March 13, 2016

Mwanariadha wa Tanzania ,Alphonce Felix akirejea nchini akitokea nchini Japan kushiriki mashindano ya marathoni yajulikanayo kama Lake Biwa ambapo alifanikiwa kushika nafasi ya tatu akitumia muda wa saa 2:09:19.
Mwanariadha wa Tanzania ,Alphonce Felix akisalimiana na mdau wa riadha ,Wilhelm Gidabuday aliporejea nchini akitokea nchini Japan kushiriki mashindano ya marathoni yajulikanayo kama Lake Biwa ambapo alifanikiwa kushika nafasi ya tatu akitumia muda wa saa 2:O9:19.
Mwanariadha wa Tanzania ,Alphonce Felix (katikati)  akiwa na kocha wa timu ya taifa ya riadha Francis John waliporejea nchini wakitokea nchini Japan kushiriki mashindano ya marathoni yajulikanayo kama Lake Biwa ambapo alifanikiwa kushika nafasi ya tatu.
Mwanariadha wa Tanzania ,Alphonce Felix akimkabidhi rais wa shirikisho la riadha Tanzania (RT) Anthony Mtaka ngao ya ushindi wa nafasi ya tatu aliyopata katika mashindano ya Lake Biwa Marathon yaliyofanyika nchini Japan.
Wanariadha wa timu ya taifa ya riadha wakiwa katika picha ya pamoja na mshindi wa tatu wa mbio za marathoni za Lake Biwa .Alphonce Felix.
Wanariadha wa timu ya taifa ya riadha wakiwa katika picha ya pamoja na Rais wa shirikisho la Riadha Tanzania ,Anthony Mtaka pamoja na mshindi wa tatu wa mbio za marathoni za Lake Biwa .Alphonce Felix.
Mwanariadha wa Tanzania ,Alphonce Felix akionesha zawadi aliyopewa baada ya kushika nafasi ya tatu katika mashindano ya Lake Biwa Marathon ambapo alifanikiwa kushika nafasi ya tatu akitumia muda wa saa 2:09:19.

Na Dixon Busagaga wa kanda ya Kaskazini.

GAPCO YAWAPA NEEMA WALEMAVU KATIKA MBIO ZA KILIMANJARO MARATHON 2016.

March 01, 2016


Walemavu wakishangilia kwa pamoja na viongozi wa kampuni ya GAPCO ambao walikuwa ndiyo wadhamini mbio za kilomita 10, za Kilimanjaro Marathon 2016 zilizofanyika mjini Kilimanjaro mwishoni mwa wiki iliyopita. 
 Walemavu wakianza kutimua mbio za kilomita 10, za Kilimanjaro Marathon 2016 zilizokuwa zimedhaminiwa na kampuni ya GAPCO na kufanyika mjini Kilimanjaro mwishoni mwa wiki iliyopita.
Viongozi wa kampuni ya GAPCO wakiwa na Mgeni Rasmi Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Nape Nnauye (wa pili toka kushoto) akiwaangalia walemavu wakitimua mbio za Kilometa 10 za Kilimanjaro Marathon 2016 zilizokuwa zimedhaminiwa na kampuni ya GAPCO na kufanyika mjini Kilimanjaro mwishoni mwa wiki iliyopita.
Mmoja ya walemavu Vosta Peter (30) kutokea Dar es Salam akiongoza katika mbio za Kilometa 10 za Kilimanjaro Marathoni 2016 zilizokuwa zimedhaminiwa na kampuni ya GAPCO na kufanyika mjini Kilimanjaro mwishoni mwa wiki iliyopita.
Kila mmoja akionyesha ustadi wa kuendesha baskeli.
Mwanadada Linda Macha (32) ambaye aliweza kuwashinda wenzake katika mbio za Kilometa 10 za Kilimanjaro Marathoni 2016 zilizokuwa zimedhaminiwa na kampuni ya GAPCO na kufanyika mjini Kilimanjaro mwishoni mwa wiki iliyopita. 
Mshindi wa mbio za Kilometa 10 za Kilimanjaro Marathon 2016, Vosta Peter (30) akishangilia mara baada ya kumaliza. Mbio hizo za Kilometa 10 zilidhaminiwa na kampuni ya GAPCO na kufanyika mjini Kilimanjaro mwishoni mwa wiki iliyopita.
Mshindi wa kwanza kwa mbio za walemavu kilomita 10, Vosta Peter (30) akipokea cheki ya Shilingi Milioni Moja kutoka kwa kampuni ya GAPCO, wanaomkabidhi ni Meya wa Manispaa ya Moshi Raymond Mboya (kushoto), Mkurugenzi Mkuu wa Kampuni ya Gapco Afrika Mashariki, Macharia Irungu (anayepiga makofi toka kushoto) na Mkurugenzi Mtendaji wa GAPCO Tanzania, Vijay Nair. 
Picha zote na Cathbert wa Kajunason Blog.
Na Cathbert Kajuna - Kilimanjaro. 
Mkurugenzi Mkuu wa Kampuni ya GAPCO Afrika Mashariki, Macharia Irungu amewataka wanamichezo kujibidishe kwa kufanya mazoezi mara kwa mara ili waweze kufanya vizuri katika mashindano wanayoshiriki. 
Akizungumza mwishoni mwa wiki mjini Kilimanjaro wakati wa Mashindano ya Kilimanjaro Marathoni 2016, ambapo GAPCO ndiyo waliodhamini upande wa Walemavu, alisema kuwa wanamichezo wengi walemavu na hata wasiowalemavu hujisahau sana kufanya mazoezi ya kutosha jambo linalowafanya wengi wao kutoweza kufanikiwa kushinda kwenye mashindano. 
Aliongeza kuwa wao kampuni ya GAPCO waliweza kujitolea kuwasaidia walemavu ili waweze kuonyesha vipaji vyao japo mwanzo waliweza kuwasisitiza wafanye mazoezi na ndiyo maana wameweza kufanya vyema. "Napenda kuwaasa wanamichezo wale walemavu na wasio walemavu, wapende kujitoa kufanya mazoezi ya kutosha maana siri ya ushindi ni mazoezi wala hakuna muujiza unaoweza kukupa ushindi kama haujajitoa kufanya mazoezi ya kutosha," alisema Irungu. 
Kwa upande wake Mkurugenzi Mtendaji wa kampuni ya GAPCO Tanzania, Vijay Nair alisema wamefurahishwa na mahudhurio ya watu wenye ulemavu waliojitoa kushiriki mashindano hayo, na wao hawatawatupa wataendelea kuwa nao bega kwa bega. Bw. Nair aliwaasa walemavu wawe na moyo wa upendo na mshikamano ili waonyeshe mfano bora hata wanapojitokeza kusaidiwa wafaidike kwa pamoja. 
Mashindano ya mbio za Kilimanjaro marathon za 10KM kwa walemavu zilidhaminiwa na GAPCO ambapo shindano lilijumuisha baiskeli za walemavu zenye matairi matatu zenye viwango vya kimataifa wapatao 60 kutoka Dar es Salaam, Arusha, Moshi na Zanzibar.
 

Copyright © 2015 - 2025 Athletics Tanzania All Right Reserved

Developed by Gadiola Emanuel
Theme By AP | Developed By Gadiola Emanuel